iqna

IQNA

nabii yusuf
Mbinu ya Elimu ya Manabii /39
IQNA - Kufanya makosa, hata madogo, kunaweza kuzuia maendeleo ya mtu na mojawapo ya njia bora za kupunguza uwezekano wa kufanya makosa ni kushauriana.
Habari ID: 3478033    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14

Shakhsia katika Qur’ani /19
TEHRAN (IQNA) – Nabii Yusuf ameelezewa kuwa ni mtume ambaye alikuwa na sura nzuri na mwenye utambuzi na ujuzi.
Habari ID: 3476202    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Sura za Qur'ani Tukufu /12
TEHRAN (IQNA) – Kisa cha Nabii Yusuf (AS) katika Qur’ani Tukufu kimejaa mengi kuhusu magumu ambayo aliyapitia kwa subira na imani na kufanikiwa kupata hadhi ya juu.
Habari ID: 3475421    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Uislamu na vita dhidi ya njaa
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito kwa maafisa wa nchi hiyo kuchukua somo kutoka aliyoyasema Nabii Yusuf AS katika Qur’ani Tukufu kuhusu kuweka akiba ili waweze kushughulikia hali ya sasa ya uhaba wa ngano na nafaka zingine.
Habari ID: 3475286    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

Walowezi wa Kizayuni wasiopungua 1,000 waliokuwa wakisindikizwa na askari wa utawala haramu wa Israel wamevamia na kulivunjia heshima kaburi la Nabii Yusuf (AS), ziara linaloheshimiwa na Wayahudi, Wakristo na Waislamu.
Habari ID: 3470234    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/08